Viongozi wa Argentina na Uingereza watupiana maneno juu ya kisiwa cha Falkland.


Rais wa Cristina Fernandez, alisema "maoni ya waziri mkuu wa Uingereza ni aibu, hayasemeki na hayaendani na ukwli ulipo kuhusu kisiwa cha Falkland.
Na nitazidi kusisitiza ukweli kuhusu kisiwa cha Falkland katika ngazi za kimataifa, ili tuweke wazi umilikaji wa kisiwa hiki."
Waziri mkuu wa Uingereza David Cameron akiongea ndani ya bunge, alisema wananchi wa kisiwa cha Falkland ndiyo watakao amuakama wanataka kuwa chini ya Uingereza au hapana"
Mvutano wa kisewa cha Falkland ambao ulisababisha vita vilivyo chukua wiki kumi kati ya Argentina na Uingereza mwaka1982 wakati wa utawala wa waziri mkuu Margret Hilda Thatcher na kisiwa hicho kuwa chini ya mwingereza.
No comments:
Post a Comment