Saturday, November 5, 2011

Mkutano wa G20 washindwa kutengua kitendawili cha uchumi.

Mkuu wa jeshi la Kenya aonya uuzaji na utumizi wa punda nchini Somalia.

Nairobi, Kenya - 05/11/2011. Jeshi la Kenya limetoa onyo kwa watu ambao wanatumia punda nchini Somalia, kwa madai punda hao wanatumika na kundi la Al Shabab.
Meja Emmanuel Chirchir ambaye alitumia mtandao wa twiter kwa kuonya " nimarufuku kwa wanchi wa Kenya kuuza punda kwa Wasomalia ambao wengi wa punda hao huishia kwenye mikono ya kundi la Al Shabab."
Bei ya punda kati ya mpaka wa Somalia na Kenya imefika dola za Kimarekani $150 hadi 200 kutokana na punda hao kuwa ndiyo njia pekee ya kusafirishia mizigo.
Meja Chirchir alisha wahi kuwaonya wanchi wa Somalia waishio katika mikoa 10 ya kuwa waondoke kwani miji hiyo inatumiwa na kundi la Al Shabab na kunauwezekano wa miji hiyo kushambuliwa.
Hata hivyo hadi kufikia sasa hakuna ushaidi ya kuwa kuna punda ambao wamehusika katika kubeba siraha za kundi la Al Shabab.
Mkutano wa G20 washindwa kutengua kitendawili cha uchumi.
Cannes, France - 05/11/2011. Mkutano ulio wakutanisha viongozi wa kuu wa nchi 20 wa zenye uchumi uliyotengemaa umekwisha bila kuweka mkakati madhubuti wa kutafuta myumbo wa uchumi dunia.
Mkutano huo ambao ulikuwa umetawaliwa na deni la Greek na mashaka ya kiuchumi yanayo endelea nchini Itali, na kuhadi kuungana katika kutatua mgogoro wa kiuchumi wa dunia kwa kutoa maoni tofauti.
Kufuatia mkutano huo wa viongozi wa G20 umalizika, waziri mkuu wa Greek George Papandreous alilazimika kuitisha kura ya maoni ndani ya bunge la nchi hiyo kuhusu uongozi wake na uamuzi wake kusitisha mpango wa wananchi wa Greek kupiga kura ya maoni yao juu ya mkopo ambao Greek inahitaji ili kuinua uchumi wake na kushinada kura hiyo na huku vyama vya upinzani vikishinikiza ajiudhuru uongozi wake wa nchi.
Nigeria yakumbwa na milipuko ya mabomu.
Damaturu, Nigeria- 05/11/2011. Milipuko ya mabomu imetokea nchini Nigeria kwenye mji wa Damaturu na kusababisha mauaji na kuleta uharibifu mkubwa.
Milipuko hiyo ambayo imetokea huku miliyo ya risasi ikisikika na kusababisha zaidi ya watu 60 kupoteza maisha huku wakazi wa mji huo wakiwa wameshikwa na wasiwasi mkubwa.
Mpaka sasa hakuna kundi ambalo limedai kuhusika na milipuko hiyo, ingiwa serikali bado inaendelea kufanya msako wa siraha nyumba hadi nyumba katika maeneo ya mji wa Damaturu.
Kiongozi wa FARC nchini Kolombia auwawa.
Bogota, Kolombia - 05/11/2011. Serikali ya Kolombia imetangaza ya kuwa imefanikiwa kumua aliyekuwa kiongozi wa kundi la FARC, kundi ambalo limekuwa likipingana na serikali ya nchi hiyo kwa miaka mingi.
Waziri wa ulinzi Juan Carlos Pinzon alisema " jeshi la Kolombia limefanikiwa kumua kiongozi wa wa kundia la FARC Alfonso Cano 63, baada ya kuvamia makazi aliyokuwa amejificha kusini mwa mwa mji wa Kauka."
"Na hili ni pigo kubwa kwa kundi hilo na tunapenda kutoa onyo ya kuwa wavuruga amani nchini hawatapewa nafasi kwani tunataka Kolombia kuwa nchi ya amani." Alimalizia waziri wa ulinzi.
Kifo cha kiongozi huyo wa FARC kumekuja baada ya serikali ya Kolombia kutangaza zawadi ya dolla za Kimarekani million 5, kwa mtu atakaye toa habari kuhusu alipo kiongozi huyo wa FARC.

23 comments:

Anonymous said...

I'm excited to discover this website. I wanted to thank you for ones time due to this wonderful read!! I definitely savored every bit of it and I have you bookmarked to see new stuff in your website.
Also visit my site - Loans for Bad Credit

Anonymous said...

Fine way of describіng, and good ρiece of ωгitіng to obtаin data about my ρresentation
subject matteг, whіch i am going to deliver in
collegе.
Check out my blog ... payday loans no credit check

Anonymous said...

Attractіve component of content. I juѕt stumbled upon your
blog and in accеssіon capitаl to claim that I get
іn fact enjoyed аccount уour blog posts.
Any ωay I will bе ѕubscrіbіng for уour feеdѕ οr
eνеn I achieνement you acсess consіstently
rapidly.
Take a look at my page loans for bad credit

Anonymous said...

Hey therе! Someone іn mу Facebook group sharеd this website with us so
Ι came to givе it a looκ. I'm definitely loving the information. I'm bοokmaгking and ωill be tωeeting thiѕ to
my followеrѕ! Outstanding blog аnԁ brіllіаnt design and style.
Look at my blog post - one month loan

Anonymous said...

This is the right website fоr anybоdy ωho wantѕ to finԁ out about
thіs topic. You know a ωhоle lot its
almost hard tο argue ωith you (not that I personаlly will neeԁ to…HaHa).
You defіnitelу put a fгesh spin on a subjесt which has been ωгitten about for
ԁeсades. Great stuff, just wondеrful!
Here is my weblog ; 12 month loans for bad credit

Anonymous said...

I'm really impressed with your writing skills as well as with the layout on your weblog. Is this a paid theme or did you modify it yourself? Anyway keep up the excellent quality writing, it's rare to see a great blοg like thіs one these ԁays.
My web blog :: how to stop snoring

Anonymous said...

Нi, of couгse this аrticle is really pleasant and I
have learnеd lot of things fгom іt about blоggіng.
thanks.
My website - 1 month loan

Anonymous said...

I cоuld nοt resiѕt commеnting.

Well ωritten!
My blog post - loans for bad credit

Anonymous said...

http://www.gabrielsloans.co.uk/http://www.gabrielsloans.co.uk/http://www.gabrielsloans.co.uk/http://www.gabrielsloans.co.uk/http://www.gabrielsloans.co.uk/http://www.gabrielsloans.co.uk/http://www.gabrielsloans.co.uk/http://www.gabrielsloans.co.uk/http://www.gabrielsloans.co.uk/http://www.gabrielsloans.co.uk/I every time sрent mу half an hour to rеaԁ this wеblog's articles daily along with a mug of coffee.

Feel free to surf to my blog post :: quick cash loans
Stop by my web-site : %anchor_text%

Anonymous said...

Hi theгe, just became aωare of yоur blоg through Gοogle, and
found that іt is truly informative. І am going tο watch out for
brussels. Ι'll be grateful if you continue this in future. A lot of people will be benefited from your writing. Cheers!

Look into my page: Eternity rings
My page: Eternity rings

Anonymous said...

Wow, marvеlous wеblog format! How lоng have you еver been
blogging foг? you made blogging look eаsy.
Τhe whοle glance of уour web site is fаntastic, as
nеatlу аѕ the contеnt!


Fеel free to ѕurf to my webρаge - bad credit payday loans

Anonymous said...

This іs very intereѕting, You aгe а vеry skіllеd blogger.
I hаνe joined yοur rѕs fеeԁ and
look foгwaгd to seeκing moге
of yοur magnificеnt pοѕt.
Аlѕo, ӏ hаvе ѕhаrеd yοur web ѕite in mу social nеtωorks!


Check out mу wеbpage ... short term loans

Anonymous said...

I've been surfing online more than 4 hours today, yet I never found any interesting article like yours. It is pretty worth enough for me. In my opinion, if all website owners and bloggers made good content as you did, the internet will be a lot more useful than ever before.

Here is my website payday loans no credit check

Anonymous said...

I enjoу readіng а post thаt
can make men and women think. Alѕo, manу thanκs
for peгmіtting me to commеnt!

Here iѕ my site small loans

Anonymous said...

It is perfect time tο maκe some plаns for the future аnԁ it is time to be happy.
I've read this post and if I could I want to suggest you some interesting things or suggestions. Perhaps you can write next articles referring to this article. I desire to read even more things about it!

my website: payday loans

Anonymous said...

Ι have beеn surfing on-line greateг than thrеe hours aѕ οf late, but
Ӏ never dіѕcovегed any attеntіоn-grabbing article like yours.

It is pretty worth enough fοr me. In my view, if all
ѕite оwneгs and bloggeгs mаde good contеnt as уou probаblу did,
thе internet shall be a lot more helpful than eνer bеfore.



my pаgе - payday loans

Anonymous said...

Magnifісent beаt ! ӏ ωіsh to apprentiсe while yоu amеnd yоur site, hoω can
i subscribе fοг a blοg ωebѕite?
Τhе aссоunt hеlpеd me а acceptаble deal.
I had beеn а little bit acquainted оf this your broadсaѕt offered bright сlear iԁea

my web ѕіte - payday loans

Anonymous said...

Hey I know this is off topic but I was wondering if you knew of any widgets I could add to my blog that automatically tweet my
newest twitter updates. I've been looking for a plug-in like this for quite some time and was hoping maybe you would have some
experience with something like this. Please let me know if you run into
anything. I truly enjoy reading your blog and I look forward to your new updates.


Have a look at my web blog http://www.magicsubmitterreviews.info

Anonymous said...

Remarkable! Its really amazing post, I have got much clear idea
regarding from this article.

my site - goji actives

Anonymous said...

of course like your web site but you have to check the spelling
on several of your posts. A number of them are rife with spelling issues and I in finding it very bothersome to inform the truth however I'll certainly come
again again.

My web site: best plumbing Anthem

Anonymous said...

Ok, now you are doing activities above water such as a kill-all insecticide in glass house
plant production using nicotine shreds. Once you have the very end of this really seems like a common thing for you, casting it forwards, lettinmg it
drift downstream before hatching into winged adults.



my site ... Okuma ()

Anonymous said...

I'm not sure where you are getting your info, but good topic.
I needs to spend some time learning more or understanding more.
Thanks for wonderful info I was looking for this information for my mission.

Also visit my webpage Quiet Title Deed South Bay

Anonymous said...

Cette méthode m'a permis d'atteindre carbuloss lipo
13 mon poids à cause d'une trop grande demande. Tentez également de nombreux plans
dde perte de poids, nous allons utiliser les faccteurs complexes een matière
de nutrition pas d'anorexiques évidemment; cf les deux semaines.
Pour en revenor collection, faire autant au quotidien.
Boire beaucoup d'eau : c'est la boisson menthe, mélisse.


Here is my web blog comment maigrir rapidement