Mchezaji wa mpira wa miguu apigwa risasi kiwanjani.
Baghdad,Irak-22/03/09.Polisi nchini Irak wamesema mmoja ya mchezaji wa mpira wa miguu, alipigwa risasi ya kichwa na kufa hapo hapo wakati alipo kuwa anaijiandaa kupiga mpira wa adhabu ndogo.
Msemaji wa polisi, Mej,Muthanna Kharid, alisema mchezaji huyo wa timu ya Buhairat, alipigwa risasi na moja ya mshabiki wa timu pinzani ya Sinjar wakati zikiwa zimesalia dakika chache kabla ya mpira kumalizika.
Katika mechi hiyo timu ya Sinjar, ilikuwa inaongoza kwa goli moja.
Hata hivyo, shabiki huyo alikamatwa na polisi mara moja, alimalizia kusema haya masemaji wa Polisi.
Picha hapo juu, wanaonekana baadhi ya wapenzi wa mpira wa miguu wakishangilia mara baada ya timu yao kushinda kombe la matifa ya Asia wakati walipo rudishwa kushiriki mashindano ya kimataifa.
China kujiandaa kushindana na nguvu za kiaanga.

Kuamua kwa Chini kuendelea na ujenzi huo, kutaifanya China kuwa na uwezo sawa wakianga na nchi kama Amerika na Urussi.
Kutoleta mafanikio ya kushirikiana kujenga chombo hicho, kumekuja hasa kwa kuzingztia swala la usalama ambalo lililtwa na moja ya nchi mwanachama wa Muungano wa Ulaya.
Picha hapo juu, inaonekana moja ya chombo kinaruka kuelekea ngani , kwa ajili ya kurahisisha mawasiliano.
Vita vya Gaza vyaleta mjadala katika jamii nchini Israel.

Picha hapo juu wanaonekana baadhi ya askari wa Israel wakiwa wamesima kwa pamoja kabla ya kuendelea na mapambano na kundi la Hamas kwenye eneo la ukanda wa Gaza.
Khartoum,Sudan 22/03/09. Shule moja ya kidini nchini Sudan imemshauri rais wa Sudan,Omar Al bashir , kuto safiri nchini Katar, kuhudhuria mkutano wa nchi wanachama wa jumuia ya nchi za nchi za Kislam unaotarajiwa kuanza 30,03/09.
Rais wa Sudan ashauriwa kuto kuhudhuria mkutano.


Shule hiyo Ulema, imesema hatuapendele rai Omar Al Bashir, kwenda huko kwenye mkutano, badala yake aende mwakilishi wake atakaye chaguliwa na serikali..
Hii onyo limetolewa, baada ya mahakama ya ianayo shughulika makosa ya jina na iliyopo nchini Uhollandi, kutowa kibali cha kukamatwa kwa rais huyo wa Sudan, ili ashitakiwe.
Picha hapo juu, anaonekana rais wa Sudan Omar Al Bashir, akishangalia kwa kucheza moja ya ngoma za kiasili za Sudan, wakati alipo tembelea katika jimbo moja nchini Sudan.
Picha ya pili wanaonekana, baaadhi ya wananchi maelfu wamekuja kumlaki, rais Omar Al bashir,alipo kwenda kuwatembele kwenye maeneo yao.
No comments:
Post a Comment