Thursday, March 11, 2010

Kupinga kuvaa hijab haku mkomboi mwananke

Kupinga kuvaa hijab haku mkomboi mwanamke. Strasbourg, Ufaransa - 11/02/2010. Kiongozi mwandamizi wa shirika la kutetet haki za binadamu katika bara la Ulaya, Thomsas Hammarberg amesema " sheria za kutaka kuwazuia wakina mama kuvaa hijab za aina yoyote katika baadhi ya nchi za ulaya ni kukandamiza haki za wanawake na zinaweza kuleta athatari siku za baadaye." Aliyaongea haya wakati wa siku ya wanawake duniani. Akiongezea Thomsas Hammerberg, alisema "kuwazuia wanawake hao kuvaa hijab hakutaleta ukombozi wa wanawake na kunaenda kinyume na maadili ya demokrasi na hasa swala zima la uhuru wa mtu binafsi kuingiliwa katika maaamuzi yake yanayo mfaa. Picha hapo juu wanaonekana, baadhi ya wanawake waliopa katika bara la Ulaya wamevalia hijabu amabzo zinataka kupigwa marufuku.

No comments: