Tiger Woods,apata mthiani mwingine.

Rome, Itali - 20/03/2010. Kiongozi mkuu wa Kainsa Takatifu la Katoliki duniani Papa Denedikt VXI, ameomba msamaha kwa niaba ya Kanisa kwa wanchi wa Irish kutokana na vitendo vilivyo fanywa ndani ya Kanisa kati ya mwaka 1930 hadi miaka ya karibuni.
Katika waraka uliosomwa kwa wanchi wa Irish na Wakristu wote, ulisema "Naomba msamah kwa yote yaliyofanywa na Kanisa kwa kipindi chote hasa katika Kanisa Katoliki na waumini wake, kwa wale wote waliotenda hayo wanaweza kuikimbia sheria lakini Mungu huwa hakimbiwi."
Aliwataka wote wale waliohusika katika kitendo cha kuhaibisah Kanisa wa jitokeze mbele ya sheria wenyewe.
Picha hapo juu nanonekana, Pope Benedict VXI akiwaslimia waumini waliokuja kufanya maombi pamoja na Papa hivi karibuni Vatican.
No comments:
Post a Comment