Saturday, March 20, 2010

Pope aomba msamaha kwa niaba ya Kanisa.

Tiger Woods,apata mthiani mwingine.

Orlando, Amerika - 20/03/2010. Mcheza gofu na bingwa wa mashinado makubwa ya mchezo huo Tiger Woods na wanasheria wake wanajaribu kuzuia visanamu vya mwan gofu huyo visiuzwe. Kwa mujibi habari zilizo patikana, zinansema, visanamu hivyo vya kimapenzi, vinamleta wakati mgumu Tiger Woods, kwani ni muda ameweza kuweka sawa unyumba wake, baada ya kuyumba kwa muda. Hata hivyo kampuni ambayo inafanya mpango wa kuuza visanamu hiivyo Pipedream ahija eleza lolote kutokana na swala hilo. Picha hapo ni ya Tiger Woods,ambaye alikuwa na matatizo ya kifamili siku za nyuma na sasa ameyamaliza baada ya kuomba msamaha kwa mke wake, famili kwa ujumla na washabiki wake. Pope aomba msamaha kwa niaba ya Kanisa.
Rome, Itali - 20/03/2010. Kiongozi mkuu wa Kainsa Takatifu la Katoliki duniani Papa Denedikt VXI, ameomba msamaha kwa niaba ya Kanisa kwa wanchi wa Irish kutokana na vitendo vilivyo fanywa ndani ya Kanisa kati ya mwaka 1930 hadi miaka ya karibuni.
Katika waraka uliosomwa kwa wanchi wa Irish na Wakristu wote, ulisema "Naomba msamah kwa yote yaliyofanywa na Kanisa kwa kipindi chote hasa katika Kanisa Katoliki na waumini wake, kwa wale wote waliotenda hayo wanaweza kuikimbia sheria lakini Mungu huwa hakimbiwi."
Aliwataka wote wale waliohusika katika kitendo cha kuhaibisah Kanisa wa jitokeze mbele ya sheria wenyewe.
Picha hapo juu nanonekana, Pope Benedict VXI akiwaslimia waumini waliokuja kufanya maombi pamoja na Papa hivi karibuni Vatican.

No comments: