Wednesday, March 31, 2010

Mahakama yataka kesi ifunguliwe upya zidi ya rais wa Pakistan.

Wauaji wa kujitolea muhanga watishia amani Urusi.

Moscow, Urusi - 31/03/09. Wauaji wa kujitolea muhanga wamejilipua na kuwauwa watu wapatao 12 akiwepo mkuuwa kituo kimoja cha usalama.
Mauaji hayo ambayo ni ya pili kwa siku mbili zinazo fuatana yameleta mshituko mkubwa nchini Urusi.
Milipuko miwili tofauti ambayo ilitokea katika mji wa Kizlyar imeleta wasiwasi mkubwa kwa wananchi wa maeneo hayo.
Waziri mkuu wa Urusi, Vladimir Putin alisema, " serikali itapambana na kundi ambalo linahusika na mauaji hayo bila kusita." Picha hapo juu wanaonekana rais wa Urusi, Dimirti Medved na waziri mkuu wa Urusi Vladimir Putin wakijadialiana kwa undani kuhusu usalama wa nchi.

Mahakama yataka kesi ifunguliwe upya zidi ya rais wa Pakistan.
Kabul, Pakistan - 31/03/09. Idara inayo shughulikia kukabiliana na rushwa nchini Pakistan, imeiagiza serikali Swisi kufungua kesi ya kuchunga rushwa zidi ya rais wa Pakistan.
Kesi hiyo zidi ya rais Asif Ali Zardari imeombwa kufunguliwa upya, kutokana na matumizi ya pesa zipatazo 13 million.
Uamuzi huo unakuja baada ya mahakama kuu kutoa kizuizi mwezi Desemba mwaka jana zidi ya rais.
Picha hapo juu, anaonekana rais Asif Ali Zardar ambaye tangu achukue kiti cha urais nchini Pakistan.

No comments: