Sony yaingia mkataba tena na (Michael Jackson) Jackson Estate. New York, Amerika - 16/02/2010.Kampuni ya msiki ya Sony, imetiliana mkataba na Michael Jackson estate ili kuimiliki albamu kumi za marehemu Michael Jackson. Mkataba huo wenye thamani ya $250 million ambao ni wa miaka saba. Kwamujibu wa wachinguzi wa mabo ya muziki wanasema Sony itaweza pata faida kubwa hasa wakati wa kuazimisha siku ya kukumbuka ya kifao cha Michael Jackson. Picha hapo juu ni ya Michael Jackson akifanya mavitu ya kujiandaa na maonyesho, enzi za uhai wake.
Tuesday, March 16, 2010
Sony yaingia mkataba tena na ( Michael Jackson) Jackson Estate.
Posted by Kibatala at Tuesday, March 16, 2010
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment