Monday, November 15, 2010

NATO kuanza kuukabidhi usalama na ulinzi kwa Waafghanistan.

NATO kuanza kuukabidhi usalama na ulinzi kwa Waafghanistan. Washington,Amerika - 15/11/2010. Serikali ya Amerika pamoja wa washiriki wake wa NATO zimeaanza kupanga plani ya ulinzi nchini Afghanistan kabla ya kwa kipindi cha miezi 18- 24. Kwa mujibu wa habari kutoka ofisi za serikali jijini Washington zinasema " kuna police wapatao 260,000 ambao watakuwa tayari kuchukua majukumu ya ulinzi na usalama na inatarajiwa kufukia 2014 maswala ya usalama na ulinzi yatakuwa chini ya Waafghanistan wenyewe." Picha hapo juu wanaonekana polisi wa Afghanistan akiwa katika ulinzi ikiwa ni moja ya mikakati ya ulinzi kwa msaada wa NATO.

No comments: