Tuesday, July 7, 2009

Dunia nzima yamuaga Michael Jackson kwa huzuni. Mungu ailaze roho yake peponi.Amina

Dunia nzima, yamuaga,Michael Jackson kwa huzuni. Mungu ailaze roho yake peponi. Amina.

Los Angeles, Amerika - 0 7/07/09.Maelfu waliuzuria misa na maombi ya mwisho ya kumuaga mfalme wa musiki wa Pop Michael Jackson,ambaye alifariki siku 25/05/09.
Katika maombi hayo yaliuzuriwa, ndugu, marafiki,viongozi wa dini zote,waumini na wapenzi wa hayati mfalme wa musiki wa POP, Michael Jackson.
Picha hapo juu picha, zilizo pigwa wakati wa misa ya mwisho kukumuaga Michael Jackson, zinajieleza zenyewe, ni kwa jinsi gani tulivyo mpenda, Michael Jackson, wa kubwa kwa watoto.
Mfalme wa musiki, Michael Jackson, dunia nzima tutakukosa,umetwachia kumbukumbu ya milele kwa musiki wako na staili ya uchezajiwa wako, ulikuwa Michael Jackson,utabaki Michael Jackson, milele..
Michael Jackoson, Mungu ailaze roho yako peponi. Amina.

No comments: