Sunday, July 19, 2009

Ndugu,jamaa, marafiki na viongozi washerekea siku ya kuzaliwa Nelson Mandela.

Ndugu, jamaa, marafiki, na viongozi washerekea siku ya kuzaliwa Nelson Mandela.

Johannesburg, Afrika ya Kusini - 18/07/09. Maelfu ya watu wamesherekea siku ys kuzaliwa kwa aliye kuwa rais wa kwanza mwafika, mpigani uhuru, haki na usawa kwa wanchi wa Afrika ya kusini, Nelson Mandela,ambapo ametimiza miaka 91 tangu kuzaliwa.
Moja kati ya watu walioudhulia sherehe hizo ni rais wa sasa wa Afrika ya Kusini Jacob Zuma.
Nelson Mandela, ameweza kuleta mabadiliko na kuwa changa moto kwa watu wengi, bila kujali rangi zao na wapi wanatokea.
Picha hapo juuwanaonekana, rais wa sasa wa Afrika ya Kusini, Jacob Zuma, akiwana rais wa kwanza mwafrika wa Afrika ya Kusini, Nelson Mandela, kabla ya kupata maakuli kushangilia siku ya kuzaliwa kwa Nelson Mandela.
Picha ya pili, anaonekana, rais wa kwanza wa Afrika ya Kusini, Nelson Mandela, akitabasamu mbele ya watu walio kuja kusherekea siku ya kuzaliwa kwake.
Picha za mwanajeshi aliyetekwa nyara zasambazwa kwenye mitandao.
Paktika, Afghanistan - 16/07/09. Mwanajeshi wa Amerika aliye potea waktai akiwa mstari wa mbele siku ya tarehe 30/juni/2009, ameonekana kwen picha za video na kwenye mitaandao huku akiongea ni kwajinsi hali anayotarajia, na kwa kiasi gani ana wakumbuka watu wote wa famial yake.
Video ya mwanajeshi huyo, mwenye umri wa miaka 23, ilionyeshwa kwa dakika 28 siku ya jumamosi, huku akiwa amekatwa nywele zake za kichwani.
Pentagon, imesema ya kuwa mwanajeshi huyo, Bowe Bergdahl, wa Kentchum Idaho,juhudi za kumtafuta mahali alipo fishwa kama mateka bado zinaendelea, na jeshi la limesambaza vikaratasi katika eneo ambalo alikamatwa mwanajeshi huyo na kutaka mtu yoyote atakaye saidia kupatikana kwa mwnajeshi huyo, atapewa zawadi.
Na wakati huo huo , makao makuu ya jeshi la Amerika , limesema kitendo cha kundi ambalo limemkamata mwanajeshi huyo, kusambaza video zake ,ni kinyume na sheria za kimataifa.
Picha hapo juu ni ya mwanajeshi aliye tekwa nyara, Bowe Bergdahl, amnaonekana akila chakula alicho pewa na kundi ambalo lime mteka nyara.

No comments: