Thursday, July 16, 2009

Kifo cha rais wa Palestina chaleta kitendawili kati ya viongozi wa Wapalestina.

Iran na Amerika bado kupeana majibu.

Washingtone, Amerika - 16/07/09. Serikali ya Amerika imesema ya kuwa utafika wakati mpango wa mazungumzo na Iran hautakuwa na maana tena, kwa kuzingati Iran imesha pewa hadi kufikia mwezi wa Septemba, iwe imesha toa jibu kama itakuwa tayari kuongea na Amerika, kupitia Umoja wa Mataifa.
Hayo yaliongewa na waziri wa mambo ya nchi za nje wa Amerika, Hilary Clinton, jana wakati akiongelea mipango ya serikali ya Amerika katika maswala mambo ya nje, na kudai ya kuwa Iran haitakiwa kuwa na nguvu za kijeshi za kinyuklia, bali wanaweza kuwa na nyuklia kwa ajili ya uzalishaji na maendeleo ya jamii.
Wakati huo huo, mkuu wa idara ya nyuklia wa Iran Gholama Reza Aghazadeh, amejihuzuru nyazifa yake wiki tatu zilizo pita.
Kwa mujibu wa shirka la habari ISNA, limesema ya kuwa hakuna habari kamili zilizo sababisha kujihuzuru kwake.
Picha hapo juu ni ya waziri wa mambo ya nje wa Amerika, ambaye amesema yakuwa serikali ya Amerika, itafika wakati hatua za mazungumzo hazitafaa tena.
Picha ya pili ni mkuu wa nyklia wa Iran, ambaye aneng'atuka madarakani.
Kifo cha rais wa Palestina chaleta kitendawili kati ya viongozi wa Wapalestina.
Tunis, Tunisia - 16/07/09. Kiongozi wa mkuu wa kundi la Wapigania Ukombozi wa Wapalestina (PLO) Palestina Liberation Organasation Farouk Kaddoumi, ameongea na vyombo
vya habari na kudai ya kuwa ripoti aliyotoa anaisimamia na yoyote aneye ona siyo kweli, basi aje na ushahidi mwingine wa kutosha.
Farouk Kaddoumi,alikuwa anasisitiza hivyo, kuhusu yeye kuandika ripoti ya kuwa kuna baadhi ya viongozi wa ngazi za juu wa Wapalestina walishiki katika mauaji ya aliyekuwa rais wa Wapalestina, hayati, Yasir Arafat.
Hata hivyo, baada ya habari hizi kupatikana, baadhi ya vyama vilivyo tajwa vimekanusha habari hizo.
Farouk Kaddoumi, ambaye no mmoja wa viongozi waanzilishi wa PLO, aishie Tunisia.
Picha hapo juu, ni ya hayati rais, wa Palestina, Yasir Arafat, ambaye aliga dunia miaka mitano iliyo pita nchini Ufaransa, wakati alipo pelekwa matibabu.
Picha ya pili ni ya, Farouk Kaddoumi, ambaye ametoa ripoti ambazo zinateta kitendawili kwa Wapalestina.

1 comment:

Anonymous said...

[url=http://firgonbares.net/][img]http://firgonbares.net/img-add/euro2.jpg[/img][/url]
[b]how to clear photos in acdsee, [url=http://firgonbares.net/]to buy old software[/url]
[url=http://firgonbares.net/][/url] where to buy used software 32-bit Retail Price
photoshop software to buy [url=http://firgonbares.net/]autocad 2005 trial activation code[/url] oem software to
[url=http://firgonbares.net/]oem software installation[/url] windows xp help
[url=http://firgonbares.net/]academics software[/url] windows xp patches
kaspersky internet security 2009 and mcafee siteadvisor [url=http://firgonbares.net/]how to price a software product[/b]