












Posted by
Kibatala
at
Friday, April 29, 2011
0
comments
Posted by
Kibatala
at
Monday, April 25, 2011
0
comments
Posted by
Kibatala
at
Friday, April 22, 2011
0
comments
Serikali ya Kuba kufanya mabadiliko ya kisiasa. Havana, Cuba -17/04/2011. Rais wa Kuba ametangaza mabadiliko ya kisiasa ambayo yatakayo fanyika nchini humo.
Posted by
Kibatala
at
Sunday, April 17, 2011
0
comments
Obama, Sarkoz na Kameron tutahakikisha Gaddafi anang'oka.
Posted by
Kibatala
at
Friday, April 15, 2011
0
comments
Nchi zinazo ongoza kukua kwa uchumi dunia zakutana nchini China. Hainan, China 13/04/2011. Viongozi wa serikali na mabenk wamekutana nchi China ili kuangalia kiundani njia bora ya kuimarisha sekta ya bishara ya kifedha na uchumi.
Posted by
Kibatala
at
Wednesday, April 13, 2011
0
comments
Jeshi la Alassane Ouattara la mkamata Laurent Gbagbo. Abidjan, Ivory Coast -11/04/2011.Jeshi la upinzani linalo ongozwa na Alassane Ouattara, kwa kushirikiana na jeshi la Ufaransa limefanikiwa kumkamata aliyekuwa rais wa Ivory Coast baada ya kuvamia makazi yake.
Posted by
Kibatala
at
Monday, April 11, 2011
0
comments
Iceland yasumbua vichwa vya wafadhili wake.
Posted by
Kibatala
at
Monday, April 11, 2011
0
comments
Mahakama ya Hague yaanza kusikiliza kesi za machafuko ya Kenya.
Posted by
Kibatala
at
Thursday, April 07, 2011
1 comments
Uingereza ya kubali baadhi ya makosa.
Posted by
Kibatala
at
Wednesday, April 06, 2011
1 comments
Mke wa Ratko Mladic aiambia mahakama mume wake huenda amefariki. Belgrade,Serbia - 05/04/2011. Mke wa aliyekuwa kiongozi kivita vilivyo tokea nchi za Balkan amefikishwa mahakani ili kujibu mashitaka ya kukutwa na siraha. Bosijlika Mladik, ambaye alifikishwa mahakamani, aliiambia mahakama ya kuwa siraha hizo ziliwekwa na mumewe na aliwazuia kugusa kabati hilo.
Posted by
Kibatala
at
Tuesday, April 05, 2011
1 comments
Mahakama ya kimataifa yakataa kesi iliyo funguliwa na Georgia. Hague, Uhollanzi - 03/04/2011. Mahakama ya kimataifa ya umoja wa mataifa imekataa kesi iliyo letwa na serikali ya Georgia zidi ya Russia.
Habari kutoka mahakama hiyo zinasema " mahakama haiwezi kuendelea na kesi kutokana na baadhi ya mazungumzo haya kufanyika na kuchunguzwa."
Kesi hiyo ulifunguliwa na serikali ya Georgia baada ya jeshi la Urussi kuivamia Georgia ili kuzuia mauaji dhidi ya wakazi wa Abkhazia na Kusini Ossetia.
Posted by
Kibatala
at
Sunday, April 03, 2011
0
comments
Wafanyakazi wa Umoja wa mataifa wavamiwa. Mazar-el-Sharif, Afghanistan -01/04/2011. Ofisi za umoja wa mataifa nchini Afghanistan zimevamiwa na waandamanaji ambao walikuwa wanapinaga kitendo cha mchungaji mmoja kuchoma Kuraan.
Posted by
Kibatala
at
Friday, April 01, 2011
0
comments