Uingereza ya kubali baadhi ya makosa.
Islamabad, Pakistani - 06/04/2011. Waziri mkuu wa Uingereza amewahutubia waandishi wa habari wanafunzi na viongozi wa serikali wa Pakistan na kukubali yakuwa Uingereza inatakiwa ibebe lawama kutokana na machafuko katika eneo hilo.
David Cameron alisema " Uingereza imekuwa ni chanzo cha matatizo katika eneo hilo na tumekuwa tukihusika katika sehemu tofauti hapo mwanzo.
"Ukiangalia kiundani utaona historia ina husisha Uingereza kwa njia moja au nyingine."
Waziri mkuu wa Uingereza yupo ziarani nchini Pakistani ili kukuza uhusiano na nchi hiyo ambayo ni mshiriki mkubwa katika vita zidi ya ugaidi.
1 comment:
hello, i am young pretty single girl,i am caring,loving,affectionate,compassionate and always ready for a new adventure.contact me by email : yakkate@yahoo.com one love, kate.
Post a Comment