Mamia washuhudia William na Catherine walipokuwa wana wafunga pingu za maisha.
London, Uingereza 29/04/2011. Mamia ya wakazi wa jiji la London na dunia nzima wameshuhudia mjuukuu wa malkia Elizabeth, William akifunga ndoa na mchumba wake Catherine.
Harusi hiyo iliyo fungwa kanisani, na kuhudhuliwa na Malkia na familia yake, wazazi wa bibi harusi na familia yao, viongozi wa dini ,serikali na wageni wengine waalikwa.
Harusi hii ilitangazwa katika runinga kwenye nchi zaidi ya 108 dunia.








Picha hapo juu wanaonekana mke na mume wakiangaliana kwa furaha baada ya kumaliza kuimba nyimbo ya kumshukuru Mungu. hapa inaelekea Willy akimwambia mkewe, kumbe unajua kuimba hata nyimbo za dini.

Picha hapo juu anaonekana, William akimvalisha pete mke wake Catherine mbele ya kasisi, huku mkewe akitabasamu kwa furaha.
Picha hapo juu, baba wa Catherine, Middleton akimwakilisha mwanae mbele ya Kasisi tayari kula kiapo kumtwaa William kama mme wake, na huku kulia kwao mume wake Willy na mdogo wake Hurry wakimakini tayari kusikia habari njema toka kwa Catherine.
Picha, hapa inaonekana mdogo wa Willy, Hurry akimwambia kaka yeke sasa unakwenda kuwa mme wa mtu, na kaka yake Willy akisema yaaa naenda kuanza maisha mapya mdogo wangu, hata hivyo wewe ni mgodo wangu na ndugu yangu milele.


Picha hapo juu, wanaonekana bibi Malkia Elizabeth na kulia babu Philips wakiwa wamekaa tayari kungojea mjukuu wao kula kiapo mbele ya Mungu na kasisi ya kuwa anamchukua Catherine kama mke wake. mmm sasa mme wangu Willy anachukuliwa hivi hivi namwona , yaaa na mimi napata mke mwingine , hapo inaelekea bibi na babu wakiwa wanawaza.

Picha hapo juu anaonekana Catherine akielekea kuingia kanisani tayari kula kiapo cha kumpenda mume wake Willy.

No comments:
Post a Comment