Mahakama ya kimataifa yakataa kesi iliyo funguliwa na Georgia. Hague, Uhollanzi - 03/04/2011. Mahakama ya kimataifa ya umoja wa mataifa imekataa kesi iliyo letwa na serikali ya Georgia zidi ya Russia.
Habari kutoka mahakama hiyo zinasema " mahakama haiwezi kuendelea na kesi kutokana na baadhi ya mazungumzo haya kufanyika na kuchunguzwa."
Kesi hiyo ulifunguliwa na serikali ya Georgia baada ya jeshi la Urussi kuivamia Georgia ili kuzuia mauaji dhidi ya wakazi wa Abkhazia na Kusini Ossetia.
Jeshi la Ufaransa la zuia kiwanja cha ndege.

Abidjan, Ivory Coast -03/04/2011.Jeshi la Ufaransa limeshikilia kiwanja cha ndege cha jiji la Abidjan.
Jeshi hilo la Ufaransa ambalo lipo chini ya Umoja wa Mataifa huku majeshi ya rais wa sasa wa Ivory Coast Laurent Gbagbo na mpinzani wake Alassane Ouattara ya kiendelea kupigana.
Machafuko ya kisiasa nchini Ivory Coast yalianza baada ya uchaguzi mkuu wa kumchagua rais kuingia mgogoro dhidi ya Gbagbo na Ouattara kufuatia matokeo yaliyo tangazwa.
No comments:
Post a Comment