Serikali ya Kuba kufanya mabadiliko ya kisiasa. Havana, Cuba -17/04/2011. Rais wa Kuba ametangaza mabadiliko ya kisiasa ambayo yatakayo fanyika nchini humo.
Rais wa Kuba Raul Castro akiwahutubia viongozi na wanachama tawala wapatao 1000 katika mkutano mkuu wa chama tawala alisema "tumefikia wakati wa kukubaliana na hali halisi ya mabadiliko ya kisiasa , kwa minajili hiyo tumekubaliana ya kuwa kiongozi wa nchi atakuwa anakaa madarakani kwa kipindi cha miaka hadi kumi tu.
rais Raul Castro alimekuwa mtawala wa nchi hiyo tangu alipo achiwa madaraka na kaka yake Fidel Castro
Iran yazindua gari mpya ya kifahari.

Mkuu wa jeshi la Iran, Admiral Amir Farhadi, alisema "meli kebu hiyo ambayo itakuwa na uzito wa tani 500 na itakuwa tayari kuanza kazi mwaka 2012 Julai."
Irani imekuwa ikipiga hatua za kisayansi na teknolojia na kuwa nauwezo wa kutengeneza mitambo na siraha za kijeshi.
Wakati huo huo kampuni ya kutengeneza magari ya Iran, imezindua gari mpya ya aina ya Dena ambayo inatarajiwa kuwa katika barabara hivi karibui, na wanunuzi wa magari kutoka Iran,nchi za Rusia,Syria, Turkey, iraq,Ukraine na Misri, wataaanza kuyatumia magari mwaka 2011.
No comments:
Post a Comment