Wafanyakazi wa Umoja wa mataifa wavamiwa. Mazar-el-Sharif, Afghanistan -01/04/2011. Ofisi za umoja wa mataifa nchini Afghanistan zimevamiwa na waandamanaji ambao walikuwa wanapinaga kitendo cha mchungaji mmoja kuchoma Kuraan.
Waandamanaji hao walivunja jengo la umoja wamataifa na kuwavamia wafanyakazi waliokuwemo katika eneo hilo na kusababisha vifo vya wafanyakazi wanane wa umoja wa mataifa.
Masemaji wa polisi alisema " baadhi ya waandamanaji walivamia majengo ya umoja wa mataifa kwa nguvu na kupanda juu ya ofisi hizo na kuleta madhara makubwa."
Maandamano hayo yalifanyika baada ya swala ya ijumaa ili kupinga kitendo cha mchungaji mmoja kuchoma kitabu cha dini.
No comments:
Post a Comment