Sunday, June 24, 2012

Misri yapata rais wa kwaza wa kirahiya baada ya miaka zaidi ya 30 kupita.

Mji wa Mombasa washambuliwa kwa mabomu.

Mombasa, Kenya - 24/06/2012. Mmtu mmoja ameuwaa na wengine kujeruhiwa na mabomu mjini Mombasa siku moja baada ya onyo kutolewa na  ofisi za ubalozi wa Marekani. 
Polisi mjini Mombasa imesema " mashambulizi hayo yalitokea saa nne usiku kwa muda wa masaa ya Kenya wakati wakazi wa mji huo wanaangalia mshindano ya kombe la Ulaya kwenye bar moja iliyopo Mombasa mjini."
Onyo la mashambulizi katika mji wa Mombasa, lilitiliwa maanani na kuzifanya serikali za nchi za Magharibi kuwaonya wananchi wao kuwa waangalifu watakapo kuwa katika matembezi ya kitalii katika mji wa Mombasa.

Marekani ya rudisha msaada wa pesa kwa Malawi.

Lilongwe, Malawi - 24/06/2012. Serikali ya Marekani imerudisha msaada waki fedhe ambao ulikuwa imeizuia kwa serikali ya Malawi, baada ya serikali  iliyopo madaraka ya rais  Joyce Banda kurudisha misingi ya kidemokrasi inayo takiwa.
Dola za  Kimarekani million $350 ambazo zilisimamishwa kutolewa na serikali ya Marekani,  baada ya serikali ya marehemu  Bingu wa Mutharika kukataa makubaliano na nchi za Magharibi na hata kufikia kuvunja uhusiano wa kiplomasia na Uingereza nchi ambayo inatoa misaada mkubwa kwa Malawi.
Malawi nchi ambayo ni moja ya nchi zenye uchumi duni duniani, imekuwa na myumbo wa kisiasa kwa muda tangu mabadiriko ya kisiasa ya vyama vingi kuingia nchini humo.


Misri yapata rais wa kwaza wa kirahiya baada ya miaka zaidi ya 30 kupita.

Kairo, Misri - 24/062012. Matokeo ya uchaguzi nchini Misri yametangazwa na mgombea urais kwa kupitia chama cha Kiislaam cha Muslim Brotherhood nchini huo  amatangazwa kuwa mshinda kwa 51% zidi ya mpinzani wake.
Mohamed Mosri  alitangazwa kuwa mshindi na kamati  ya uchaguzi ya  Misri na huku waananchama wa chama cha Muslimu Brotherhood wakishangilia kwenye makutano maaruufu ya Tahrir yaliyopo katikati ya jiji la Kairo.
Akiongea baada ya kutangazwa kuwa mshindi Mohamed Mosri alisema " sina haki bali ninamajukumu makubwa na kama sitawajibika basi haina haja ya kukubali uongozi wangu na nitawatukumia wa Misri wote  kufanya kazi kwa ajili ya nchi ya yangu."
Matokeo ya uchaguzi nchi Misri yametolewa sikuchache mbele baada ya ya siku iliyo tarajiwa matokeo kutolewa Alhkamisi kuarishwa ili hadi leo siku ya Jumapli ilikuweza kupata matokeo sahihi yasiyo na shaka, baada ya pande zote mbili kulalamika juu ya uchuguzi ulivyo endeshwa.

No comments: