Tuesday, August 11, 2009

Daw Aung San Suu Kyi, aongezewa kifungo zaidi.

Yangon Myanmar - 11/08/09. Serikali ya Myanmar,imemuhukumu kifungo cha miezi 18 au mwaka mmoja na nusu, Daw Aung San Suu Kyi, ambaye kiongozi wa National League for Democracy - NLD.
Uamuzi wa kumgunga kifungo cha ndani ulikuja baada ya mahakama kudai ya kuwa , Suu Kyi, alivunja sheri ya ndani na hivyo atatumikia kifungo cha mieizi 18 baada ya kukutana John Yettaw Ambaye ni raia wa Amerika nyumbani kwake.
Picha hapo juu, ni picha ya, Daw Aung San Suu Kyi,akichungulia dirishani, na hivi sasa amehukumiwa kifungo cha ndani cha miezi 18 zaidi.
Picha ya chini, ni moja ya gari la polisi la Myanmar, likiwa na walinzi na baadhi ya watu ndani ya gari hilo tayari kuelekea mahabusu.

No comments: