Sunday, August 2, 2009

Google ya pata wapinzani wa kitandao.

Google ya pata wapinzani wa kimtandao.

Redmond,Amerika - 02/08/09. Makampuni makubwa duniani yanayo ambayo ndiyo yanayo shughulikia nugu za mitaandao, Microsoft na Yahoo, zimeamua kuungana ili kushindana kibiashara na kamuni nyingine kubwa ya Google.
Makampuni ya Microsoft na Yahoo yalitiliana saai mkataba wa makubaliano ya ushirikiano siku ya Jumatano,29/07/09, na kukamilisha mipango yote hivi karibuni.
Akiongea mbele ya vyombo vya habari, mkurugenzi mkuu wa Microsoft,Steven A Ballmer, alisema ya kuwa ushirikiano huu ni mzuri kwani utainua kampuni zote mbili, na kuweza kushindana na Google.
Picha hapo juu ni ya alama ya kampuni ya Googe ikiwa mbele ya ofisi zake, ambapo kwa sasa itakuwa na washindani wawili wakubwa Microsoft na Yahoo katika biashara ya kimtandao..
Picha mbili zinazo fuatana za Microsoft na Yahoo,zimeungana kibiashara, ili kuleta ushindani wa kibiashara na Google.
Mtandao kutumika katika kutibu wanajeshi.
Hawaii, Amerika - 02/08/09. Kituo cha afya TriWest, kilichopo Hawaii nchini Amerika, kimeseama kitaanza kuwatibu na kutoa ushauri kwa wanajeshi na familia zao kiakili kwa kutumia mtandao picha ( Webcam).
Kwa mujibu wa habari zilizo patikana , zinasema ya kuwa wataalamu wa hali za utimamu wa binadamu na waganga, wataanza matibabu hayo kakuangali ni kwa kiasi gani wanajeshi ambao wameumia vitani wataweza pata kurudi katika hali ya kawaida.
Mpango huu, umeweza kufanikiwa katika majaribio kwa kushirikiana na wataalamu wa maswala ya kijeshi ya Amerika alisema, David J. McInntyre.
Picha hapo juu, wanaonekana, wanajeshi wakiwa wanambeba mmoja ya mwanajeshi mwenzao , baada ya kuumia wakati wa mapambano.
Picha hapo
Rwanda kuupa utalii kipao mbele.
Kigali, Rwanda - 20/08/09. Serikali ya Rwanda pamoja na kampuni ya Dubai , ( Dubai World),
zimeanza kushirikiana kwa pamoja ili kukuza utalii nchini humo.
Kwa mujibu wa , mkurugenzi mkuu wa wa maendeleo ya Rwanda,Clare Akamanzi, alisema ushirikiano huu, ni muhimu kwani serikali ya Rwanda, moja ya nchi ambayo ina vivutio vingi vya utalii na utalii utachangia katika kuinua hali ya uchumi wa nchi.
Pichani hapo juu, wanaonekana, ujenzi wa moja ya hotela ya kitalii, ukiendelea kwa ushirikiano wa serikali ya Rwanda na Dubai World.
Magorila hatarini na virusi vya ugonjwa wa ukimwi
Alabama, Amerika - 02/08/09. Wachunguzi wa maswala ya utibabu wa magorila, wamesema wamegundua ya kuwa ugonjwa wa ukimwi unaweza kuwazuru wanyama hawa kama unavyo waathiri wanadamu.
Kwa mujibu wa Dr, Beatrice Hahn wa chuo cha Alabama,amesema uchunguzi ulifanywa unaonyesha wazi ya kuwa virusi ukimwi vinateta hali ya hatari kwa magorila hao.
Hapo juu, anaonekana, mmoja ya magorila, akiwa ameshikilia mtoto wake.

No comments: