Wednesday, February 16, 2011

Kachero alidanganya kuhusu uwezo wa Saddam Hussein.

Kachero alidanganya kuhusu uwezo wa Saddam Hussein. Berlin, Ujeruman - 16/02/2011. Wabunge nchini Ujerumani wameonya ya kuwa hunda kachero aliyejulikana kwa jina la Curveball akawekwa kizuizini mara baada ya kusema ya kuwa alidanganya.

Curveball jina la kazi, ambaye ni raia wa Irak amesema ya kuwa alitoa habari za uongo kwa makachero wa Amerika na washiriki wake ya kuwa rais wa Irak Saddam Hussein alikuwa na siraha za sumu ambazo ni zakuangamiza.
Raia huyo wa Irak, Rafid Ahmed Alwan, ambaye aliongea na gazeti la Guardian na kudai ya kuwa alidanganya ili rais Saddam Hussein atolewe madarakani.
Rafid Ahmed Alwan alisema " labda nilikuwa sawa au sikuwa sawa lakini nilipewa nafasi ya na hivyo nikaitumia ili Saddam Hussein atolewe madarakani na mimi na familia yangu tunajidai kwa kuchangia mageuzi ya kisiasa na kuleta demokrasi nchini Irak."
Curveball alikimbia kutoka Irak mwaka 1995 wakati wa utawala wa marehemu rais Saddam Hussein.
Serikali ya Libya ya macho yake kwa waandamanaji.
Benghazi, Libya - 16/02/2011. Polisi nchini Libya wamepambana na waandamanji ambao walikuwa wamendamano na kuelekea kituo kikuu cha polisi.
Katika maandamano hayo, polisi waliumia gasi na zana nyingine ili kuwatawanya waandamanaji ambo watu wapatao kumi na nne kuumia wakiwmo polisi.
Maandamano yaliyo fanyika nchini Libya yamefuatia maandamano yaliyo fanyika nchini Tunisia na Misri na kufanya serikali za chini hiyo kuondoka madarakani.
Waganda waajianda na uchaguzi wa rais.
Kampala, Uganda - 16/02/2011. Viongozi wa vyama tofauti vya siasa nchi Uganda wanamalizia kampeni zao za mwisho kabla ya uchaguzi siku ya Ijumaa.
Uchaguzi huo ambao matokeo yake yata wezesha wanchi wa Uganda kupata rais ambaye watamchagua baada ya muda wa rais wa sasa wa Yoweri Museni kumalizika.
Mpinzani wake wakuu wa rais wa sasa Yoweri Museni ni Kiiza Basigye ambaye amekuwa akimlaumu Musseven kwa kutoleta mabadiliko kwa wanchi wa Uganda.
Kufuatia uchaguzi huo serikali ya Uganda imetangaza kuwa siku ya Ijumaa itakuwa sikuku ya kitaifa.

No comments: