Wednesday, February 2, 2011

Rais Mubaraka kutogombania urais tena.

Rais Mubaraka kutogambinia urais tena.

Kairo, Misri- 02/02/2011. Rais wa Misri ametangaza yakuwa hatagombea tena kiti cha urais tena na kusema atatoka madarakani baada ya kuhakikisha mabadiliko yana fanyika bila matatizo.
Rais Hosni Mubara alisema " sitagombea tena urais na sikutarajia kugombea tean kiti cha urais. Serikali itahakikisha kuwa hali ya sasa itakuwa shwari na nahaaidi ya kuwa sitakakimbia nchi na nita kufa hapa nyumbani na kuzikwa hapa, Mirsi ni nchi yangu nimeipigania na hivyo sitaondoka."
Mubaraka amehutubia kwa mara ya pili tangu kuanza maandamano ya kupinga serikali yake.

No comments: