Tuesday, April 5, 2011

Mke wa Ratko Maladic aiambia mahakama mume wake huenda amefariki.

Mke wa Ratko Mladic aiambia mahakama mume wake huenda amefariki. Belgrade,Serbia - 05/04/2011. Mke wa aliyekuwa kiongozi kivita vilivyo tokea nchi za Balkan amefikishwa mahakani ili kujibu mashitaka ya kukutwa na siraha. Bosijlika Mladik, ambaye alifikishwa mahakamani, aliiambia mahakama ya kuwa siraha hizo ziliwekwa na mumewe na aliwazuia kugusa kabati hilo.

Akiongelea kuhusu swala la mume wake Bosijlika Mladik alisema " mume wangu aliondoka nyumbani mwaka 2001 siku ambayo Slobadan Milosoevik alikamatwa na tangu siku hiyo hatujamwona na huenda amesha fariki kwani alikuwa anatumia vidonge kwa ajili ya matibabu na nivigumu kuishi bila kutumia vidonge hivyo."
Ratko Mladic ambaye alikukuwa mkuu wa majeshi wakati wa vita hivyo vilivyo tolekea katika nchi za Balkani
Haiti ya mchagua aliyekuwa msanii wa muziki kuwa rais wao.
Port-au-Price, Haiti 05/04/2011.Matokeo ya uchaguzi nchi Haiti yametangazwa na aliyekuwa mwanamusiki maharufu nchini humo kushinda katika kiti cha kugombania uchaguzi wa rais.
Michel Martelly au Sweet Micky, ameshinda uchaguzi huo baada ya wadau na wapenzi wa mwanamziki Wyclies Jean kumpigia kura kwa wingi .Wyclif Jean ambaye hapo mwanzoni aligombea kiti hicho lakini kujitoa kutokana na sababu za kiufundi.
Akiongea baada ya matokeo hayo Michel Martel, alisema" nitajitaidi kuijenga upya Haiti na kuzidisha mshikamano na ushirikiano katika jamii ya Wahaiti."
Uchaguzi huo wa Haiti utawezesha nchi hiyo kujengwa upya baada ya kukutwa na janga la tetemeko la Ardhi ambalo lilisababisha uharibufu mkubwa karibu nchi nzima.

1 comment:

yak kate said...

hello, i am young pretty single girl,i am caring,loving,affectionate,compassionate and always ready for a new adventure.contact me by email : yakkate@yahoo.com one love, kate.