Korea ya Kaaskazini kusimamisha uzalishaji wa kinyuklia.
Habari zakusimamishwa kwa uzalishaji huo wa nguvu za kinyuklia nchini Korea ya Kaskazini zilitangazwa na shirika la habari la nchi hiyo.
Hata hivyo Marekani imesifu uamuzi huo lakini kudai yakuwa bado inalitizama kwa makini.
Korea ya Kusini imekuwa ikisitasita mara kwa mara kushiriki katika mkutano wa nchi sita, Korea ya Kusini, Korea ya Kaskazini, China, Japan, Urusi na Marekani ili kujadili maswala ya kinyuklia zidi ya nchi hiyo.
No comments:
Post a Comment