Sunday, February 12, 2012

Whitney Haustone afariki dunia.

Whitney Haustone afariki dunia.


Los Angeles, Marekani -12/03/2012. Mawanamuziki maarufu na aliyekuwa mcheza sinema amekutwa amefariki dunia katika hoteli aliyo kuwa amefikia katika mji wa Los Angeles.
Mark Rose ambaye ni msemaji wa polisi alisema "polisi ilipata habari yakuwa kuna mtu anamatatizo katika hoteli aliyofikia na tulipofika tukakuta ni Whitney Hauston 48.
Hata hivyo msemaji huyo wa polisi hakutoa maelezo nini chanzo cha kifo cha mwanamuziki huyo. 

Serikali ya mpito ya Libya yaingiwa na wasiwasi na kauli mtoto Muammar Gaddafi.




Tripoli, Libya - 12/02/2012. Serikali ya Libya imeiomba serikali ya Niger kumkabidhisha mtoto wa aliye kuwa rais wa Libya Muammar Gaddafi.
Maombi hayo ya serikali ya Libya, yamekuja baada ya Saad Gaddafi ambaye ni mtoto wa tatu wa rais aliyetolewa madarakani na kuuwawa na serikali ya Libya ambayo inatawala kwa sasa.
Mohamed Hareizi ambaye ni msemaji wa serikali ya mpito ya Libya alisema "tunaomba Saad Gaddafdi na iongozi wengine waliopewa hifadhi nchini Niger waudishwe nchini Libya ili kudumusha uhusiano mzuri na serikali hiyo kwani maoni iliyotoa Saad yana tishia usalama wa taifa."
Maombi hayo yamekuja baada ya Saada Gaddafi baada ya kudai ya kuwa Libya itakuba na mvurugo wa kisiasa hivi karibuni kwani na "mawasliano na watu nchini humo na wanadai ya kuwa hali iliyopo siyonzuri."
Saada Gaddafi yupo makimbilioni nchini Niger baada ya serikali ya baba yake  Muammar Gaddafi kuangushwa na serikali ya mpito kwa msaada wa jeshi la NATO.




No comments: