Maandamano yafanya rais wa Misri kuvunja serikali.

Maandamano yafanya rais wa Misri kuvunja serikali.
Posted by
Kibatala
at
Saturday, January 29, 2011
1 comments
Nelson Mandela aruhusiwa kutoka hospital.
Johannesburg, Afrika ya Kusin - 28/01/2011. Aliyekuwa rais wa kwanza baada ya kuanguka kwa utawala wa kibaguzi wa makaburu ameruhusi kutoka hospital Mill Park ambako alikuwa amekwenda kwa matibabu.
Nelson Mandela mwenye umri wa miaka 92 alikuwa hospitalini kwa matibabu baada ya kutojisikia vizuri kiafya.
Makamu wa rais Kgalema Motlanthe aisema " Mandela ana nafuu na alikuwa anataniana nasi na tuzidi kumwombea afya yake iwe nzuri."
Picha hapo juu anaonekana Winnie Mandela akitokea hospital kumwangalia mumewe Nelson Mandela ambaye alikuwa amelazwa hospital.
Serikali ya Misri ipo njia panda.
Kairo, Misri 28/01/2011.Maelfu ya wananchi nchini Misri wameandamana kupinga serikali iliyopo madarakani na huku polisi wakipambana na waandamaji kwa kutumia gasi na maji.
Posted by
Kibatala
at
Friday, January 28, 2011
0
comments
Uchumi wa dunia kujadiliwa tena Davos.
Davos,Swiss - 26/01/2011. Viongozi wa serikali, wafanya biashara,,wanasiasa na wanauchumi, wanakutana nchi Uswisi ili kujadili mpangilio mzima wa uchumi dunia. Mkutano huo ambao utachukua siku tano, unatarajiwa kujadili mbinu za kuinua uchumi baada ya mtikiso mkubwa wa uchumi ulio ikumba dunia miaka miwili iliyo pita.
Kwa mujibu wa wachunguzi wa maswala ya kiuchumi wanasema " inabidi katika mkutano huu viongozi, wanasiasa,wafanya biashara na wanauchumi watafute ufumbuzi wa kuinua uchumi na siyo kuweka ahadi ambazo zimekuwa ziki tawaliwa na mzunguko wa siasa na hai halisi ya kiuchumi.
Picha hapo juu ni mji wa Davos, ambao viongozi wa nchi tofauti, wafanya biashara, wanasiasa na wanauchumi wanakutana kujadili hai halisi ya uchumi duniani.
Posted by
Kibatala
at
Wednesday, January 26, 2011
0
comments
Posted by
Kibatala
at
Tuesday, January 25, 2011
0
comments
Tony Blair awekwa kiti moto tena
London, Uingereza - 22/01/2011. Aliyekuwa waziri mkuu wa Uingereza wakati wa vita vya Irak na kumtoa madarakani hayati Saadam Hussein ameojiwa kwa mara nyingine tena na tume ya uchunguzi wa mwenendo mzima wa vita vya Irak.
Tony Blair ambaye alikuwa waziri mkuu wa Uingereza, chini ya serikali yake alishirikiana na serikali ya Amerika iliyo kuwa ikiongozwa na rais George Bush na kumn'goa madarakani rais Saadam Hussein wa Irak.
Akiongea mbele ya tume hiyo Tony Blair alisema " nasikitika kwa kwa wale wote waliopoteza maisha au kuathirika kutokana na vita hivi." Na nilimwahidi rais wa Amerika ya kuwa kutakuwa bega kwa bega katika vita hivi kwani niliamini Saadam Hussein alikuwa kiongozi hatri kwa jumuia ya kimataifa."
Uingereza na Amerika kwa kushirikiana na washiriki wengine ziliongoza vita vilivyo vikia kungólewa madarakani kwa rais wa Irak, Saadam Hussein.
Picha hpo juu ni ya aliye kuwa waziri mkuu wa Uingereza Tony Blair ambaye aalikuwa akijibu maswali kutoka katika tume ya kuchunguza mwenendo mzima wa vita vya Irak.
Posted by
Kibatala
at
Saturday, January 22, 2011
0
comments
Odinga, Ouwattara na Gbagbo hakuna maelewano.
Posted by
Kibatala
at
Wednesday, January 19, 2011
0
comments
Posted by
Kibatala
at
Saturday, January 15, 2011
0
comments
Wahaiti wakumbuka siku ya tetemeko la ardhi.
Port au Prince, Haiti - 13/01/2011. Maelfu ya wananchi wa Haiti wamekutana katika jiji la Port au Price kukumbuka siku ambayo tetemeko la ardhi lilitkea na kupoteza maisha ya watu na kuleta maafa makumbwa kwa kila jamii kiuchumi na kiafya.
Tetemeko hilo ambalo lilipoteza maisha ya watu wapatao 316,000 kupoteza maisha yao na wengine kujeruhiwa vibaya.
Kwa mujibu wa mashirika tofauti yanayotoa misaada nchini Haiti yamesema " hadi kufikia sasa hali nchini humo bado siyo ya kulizisha na juhudu zinatakiwa kuongezeka ili kuijenga nchi hiyo na kuinua hali ya misha ya watu wake."
Picha hapo juu ni misaraba ikiwa inawakilisha watu waliopoteza maisha wakati wa tetemeko la ardhi lililo tokea mapema mwaka 2010.
Waamerika waombwa kuungana na kushirikiana.
Tucson, Amerika - 13/01/2011. Rais wa Amerika amewataka Waamerika wote kuungana na kuishi kwa ushirikiano ijapokuwa kunatofauti za kisiasa.
Rais, Baraka Obama aliyasemahayo wakati alipo udhulia siku maalumu ya kuwakumbuka watu walioshambuliwa kwa risasi na kupoteza maisha ya kwenye jimbo la Arizona.
Baraka Obama alisema " mambo mabaya hutokea na nilazima tujitahidi kuwa wavumilivi hasa tukizingatia tumepoteza watu sita kutokana na ukatili uliofanyaka."
Mtu anayehusika na mauaji hayo Jared Lougher 22 anashikiliwa kutokana na kufanya kitendo hicho cha kikatili.
Picha hapo juu wanaonekana rais Baraka Obama akiwa na mke wake Micheel wakishika kwenye ndege kuelekea kuhudhulia siku maalumu ya kuwakumbuka watu waliopoteza maisha wakati wa mashambulizi ya kikatili.
Posted by
Kibatala
at
Thursday, January 13, 2011
1 comments
Kesi ya Julian Assange yaanza kusikilizwa.
Posted by
Kibatala
at
Wednesday, January 12, 2011
0
comments
Wasudan wapiga kura kuamua muungano wa nchi yao.
Posted by
Kibatala
at
Sunday, January 09, 2011
0
comments
Al shabab walaumiwa kwa kuzuia misaada ya utu.
Mogadishu, Somalia - 07/01/2010. Serikali ya Somalia inalimaumu kundi la Al Shabab kwa kuzuia misaada ya kiutu ambayo inatolewa ja jumuiya ya kimataifa.
Habari kutoka wizara ya mambo ya ndani ya nchi zinasema ' inakuwa vigumu kusambaza misaada ya kiutu kutokana na hali ya kutokuwepo kwa usalama kwa wafanyakazi wanaohusika katika kutoa misaada."
Kwa mujibu wa Umoja wa Mataifa, Somalia ni moja ya nchi ambayo ilikubwa na hali ya ukame, kiasi cha kuhatarisha hata mifugo.
Picha hapo juu inaonyesha ni kwa kiasi gani hali ya ukame ilivyo hasili maisha ya watu na na wanyama.
Posted by
Kibatala
at
Friday, January 07, 2011
0
comments
Laurent Gbagbo na Alassane Ouattara wakubali kukutana.
Posted by
Kibatala
at
Tuesday, January 04, 2011
0
comments
Brazil wapata rais wa kwanza mwanamke.
Brasilia, Brasil - 02/01/2011. Wananchi wa Brazil wameshuudia kuapishwa kwa rais mpya wa nchi yao, baada ya muda wa rais wa sasa Luiz Lula da Silva kumalizika.
Dilma Rousseff aliapishwa mbele ya watu wapatao 70,000 wakiwemo wageni waalikwa kutoka nchi tofauti duniani.
Rais Dilma aisema " nitajitahidi kulinda na kuendeleza yale yote ambayo rais Luiz Inacio Lula Da Silva aliyo fanya katika kuinua uchumi wa wanchi wa Brazil na kuinua kiwango cha kila mwanchi kiuchumi."
Picha hapo juu anonekana rais wasasa wa Brazil Dilma Rousseff kushoto akiwa na rais aliye mwachia ofisi Luiz Inaci Lula da Silva kwa pamoja wakiwa wamenyanyua mikono mara baada ya kuapishwa kwa Dilma Rousseffe kuwa rais wa kwanza mwanamke.
Urussi yaaanza kuiuzia China mafuta.
Posted by
Kibatala
at
Sunday, January 02, 2011
0
comments
Dunia nzima yashangilia kuanza mwaka 2011.
Posted by
Kibatala
at
Saturday, January 01, 2011
0
comments