Saturday, January 1, 2011

Dunia nzima yashangilia kuanza mwaka 2011

Dunia nzima yashangilia kuanza mwaka 2011.

London, Uingereza -01/01/2011. Wananchi duniani kote wameshangilia kwa furaha kuanza mwaka 2011.
Miji tofauti duniani ilikuwa na shangwe na mataa yenye rangi tofauti na ving'ola kulia kuashilia kuanza kwa mwaka 2011.
Mwaka 2010 utakumbukwa kwa matukio tofauti ambayo yameleta maafa makubwa katika jamii.
Matukio hayo ni tetemeko la adhi nchini Haiti, mtikisiko wa uchumi na mlolongo wa mafuriko, barafu kwa wingi na jua kuwa kali hasa nchini Argentina.
Picha hapo juu zinaonekana taa zikiwashwa kusherekea kuanza kwa mwaka 2011.

No comments: