Serikali ya Palestina yakanusha kuridhia Waizrael.
Kwa mujibu wa habari zinasema "uongozi wa Wapalestina umekuwa na ukifikilia kukubaliana na serikali ya Izrael kuhusu swala la kurudi kwa wakimbizi wa Kipalestina waopo nje ya Palestina, ambapo zinasema itakuwa vigumu kwa wakimbizi wote kurudi Palestina."
Swala la kurudi kwa wakimbizi wa Kipalestina imekuwa moja mjadara unao letamvutano kati ya Waizrael na uongozi wa Wapalestina.
Picha hapo juu wanaonekana rais wa Amerika Baraka Obama katikati na kushoto ni Benyamin Netanyahu akitaka kupeana mkono na rais wa Wapalsetina Mahamoud Abbas mwaka jana wakati walipo kutana kujadii njia mbadala za kumaliza mgogoro kati yao.
No comments:
Post a Comment