Saturday, January 29, 2011

Maandamano yafanya rais wa Misri kuvunja serikali.

Maandamano yafanya rais wa Misri kuvunja serikali.

Kairo Misri - 29/01/2011. Rais wa Misri amevunja serikali baada ya mandamano makubwa kufanyika kwa nchi nzima.
Rais Hosni Mubaraka, alisema " naelewa kwa jinsi gani wanchi wenzangu wanavyo sumbuka kutokana na hali zao za kiuchumi, mahitaji ya mabadiliko ya kisiasa na demokrasi, hivyo nitaunda serikali mpya ambayo itahakikisha yakuwa inatekeleza kwa vitendo hayo yote ili kuleta mabadiliko.
Wakati huo huo, rais wa Amerika Baraka Obama, amemtaka rais Hosni Mubara kufungua njia ya mabadiliko na kuacha demokrasi ichukue mkondo wake.
Rais Mubara, alihutubia taifa mara baada ya maandamano ya kupinga serikali yake kuwa makubwa na kuleta maafa karibu nchi nzima.
Picha hapo juu anaoekana rais Hosni Mubaraka akihutubia taifa na kuhaidi kuleta mabadiliko.

1 comment:

Anonymous said...

Ι think thіs is one of the so muсh νital іnfo foг mе.
And i am glad гeаԁing youг аrticle.

Howeѵеr want to ѕtatement on feω gеnеral things, The ωеb ѕіte style іs great, the articles is in point of fact excellent : D.
Exсellent pгocess, cheers

Also viѕit my website: iphone dev team