Sunday, January 9, 2011

Wasudan wapiga kura kuamua muungano wa nchi yao

Wasudan wapiga kura kuamua muungano wa nchi yao.

Juba, Sudan - 09/01/2011. Wananchi wa Sudan wamepiga kura ili kuamua kama nchi yao itabaki moja au kugawanyika kuwa Sudan ya Kusini na Sudan ya Kaskazini.
Kwa mujibu wa wasimamizi wa uchaguzi huo wamesema wanchi wa Sudan wameudhulia katika vituo vya kula kwa wingi.
Salva Kiir ambaye ni kiongozi wa Sudan ya Kusini alisema " upigaji wa kura waleo ni kumaizia kazi iliyo anzwa na kiongozi wetu John Garang na inathibitisha kazi yake haikupotea bure.
Picha hapo juu anaonekana kiongozi wa Sudan Kusini Salva Kiir akipiga kura katika moja ya vituo vya kupigia kura.

No comments: