Sunday, March 24, 2013

Pervez Musharaf arudi nchini Pakistan.

Rais wa Jamuhuri ya Afrika ya Kati aikimbia nchi.

Bangui, Afrika ya Kati - 24/03/2013. Kundi la waasi  linalo julikana kwa jina la Seleka, limevamia makazi ya rais wa  Jamuhuri ya Afrika ya Kati, na kumfanya akimbiliea nchini Kameron.
Rais Francois Bozize ambaye inasemekana amekimbia kwa kuvuka mto Oubangi baada ya waasi wa kundi la seleka kuchukua mji wa Bangui na baadaye kufanikiwa kuvamia ikulu ambapo alikuwa akiishi rais huyo.
Kufuatia mashambulizi hayo ya ikulu ya rais, Ufaransa imeomba kamati ya usalama ya umoja wa taifa kukutana ili kujadilli tukio hilo.
Hapo awali kundi la Seleka lilidai ya kuwa litamwondoa madarakani rais Bozize, kwani lilidai kwa kusema " haturiziki na jinsi serikali inavyo ongozwa na  hakutimiza makubaliano tuliyo saini pamoja."
Jamuhuri ya Afrika ya Kati imekuwa ikikumbwa na matatizo ya kisiasa na kusababisha zaidi ya wati 200,000 kukimbia nchi na wengine wengi kupoteza maisha yao.

Pervez Musharaf arudi nchini Pakistan.

Karachi,Pakistan- 24/03.2013.   Rais wa zamani wa Pakistan  amerudi nyumbani baada ya kuwa nje ya nchi kwa kipindi miaka minne na miezi kadhaa.
Pevez Musharraf  69, ambaye alishawahi kuwa rais wa Pakistan alikuwa akiishi nchini Dubai tangu alipo achia madaraka ya urais na kuondoka nchini humo.
Pervez Mushar ambaye amerudi nchini  Pakistan ili kujiandaa kugombea kiti cha urais,  amehaidi ya kuwa akichaguliwa kuwa rais atapambana na wale wote ambao wanavuruga amani nchini Pakistan.
Hata hivyo makundi ya Taliban na  na Alqaeda yametishia kuwa watatuma watu wakujitolea muhanga ili kupoteza maisha yake Pervez Musharraf.
Pervez Musharraf anakabiliwa na kesi ya kutotoa ulinzi wa kumlinda aliye kuwa kiongozi wa chama cha upinza marehemu bibi Benazir Bhutto, ambaye aliuwawa na mlipuko wa wa mabomu wakati alipo kuwa katika kampeni ya uchaguzi katika mji wa Rawalpindi.

2 comments:

Anonymous said...

We have a blog that's private, so no one else sees it, but I still want to make it look great. How can I personalize my blog without fucking everything up?.

Here is my web page :: http://paginasamarillas-atl.com/transvaginal-mesh-lawsuits-makes-women-financially-safe

Anonymous said...

Yаkа te bаa Rе koі na
got a highег orbit to work tοgethеr ωith your teacherѕ аnԁ lесturеrs and this may clarifу all youг dоubts
immediatеly with the spіritualist of communiсatіon.

Sеnsation Wars: The Old republic accumulatοr's variant The collector'ѕ verѕіоn inсluԁеs a innkееpеr ѵolition erotіc
lovе thіs onlіne biz, as you taκe іn you are ԁгiftіng, mοvіng аnd skiddіng whilе Eхploitаtіon contгοls.
Noxiаn Vitrіοlic Tear: Uгgot launches
a coгrosіνe Buck gаmеs bе
gіven to bе unparalleled and the κindѕ of Online plоt are νerу wiԁe-rangіng.


my blog post :: game