Habemus Papam tamko rasmi la Makadinari.
Vatican City, Vatican - 13/03/2013. Kadinari Jorge Mariao Bergoglio 76 mzaliwa wa Argentina ameteuliwa kuwa mkuu wa kanisa Katoliki duniani.
Jorge Mario Bergoglio atajulikana kwa jina la Papa Fransis na kuwa mkuu wa kanisa Katoliki wa 266 na amekuwa ni Papa wa kwanza kutoka nje ya bara la Ulaya tangu miaka 1000 kupita.
Papa Fransis akiongea kuwashukuru waumini na wale wote walio husika katika kufanikiasha kuteuliwa kwake alisema "Nawashukuru sana kwa Makadinari wezangu kwa kunichagua kutoka mbali na kunileta hapa na ninge waomba muniombe."
Makadinari walichukua siku mbili katika maombi na kufanikiwa kumchagua Papa Fransis.
No comments:
Post a Comment