Sunday, March 10, 2013

Wavenezuela kupiga kura upya kumchagua atakaye ziba pengo la Hugo Chavez.

Walinzi wa UN waliotekwa nchini Syria waachiwa huru.


Aman, Jordan - 10/03/2013. Walinzi wa kutunza amani wa umoja wa mataifa ambao walikuwa wametekwa nyara  katika eneo la Golan Height na wapiganaji wanao pinga serikali ya Syria wameachiwa huru.
Walinzi hao 21, ambao ni raia wa Phillipines waliwasili nchini Jordan jana Jumamosi jioni baada ya jitihada za serikali ya Phillipines kwa kushirikiana na umoja wa mataifa kuwalazimisha wapiganaji hao kuwaachia huru walinzi hao.
Akithibitisha kuachiwa huko, mwakilishi wa umoja wa mataifa aliyepo Damascus Mokhtar Lamini alisema " walinzi wa umoja wamataifa kutoka Philipines  ambao walikuwa wametekwa nyara wameachiwa huru na wamesha wasili nchini Jordan."
Hapo mwanzo wapiganaji hao walisema" hatuta waachia walinzi hawa wa umoja wa mataifa mpaka hapo jeshi la serikali litakapo acha mashambulizi katika maeneo yetu."
Hata hivyo madai wapiganaji hao hayakutimizwa, na jeshi la serikali ya Syria, chini ya uongozi wa rais Bashar al Assas bado lina yanashambulia maeneo yote yanayo shikiliwa na wapiganaji hao.

Wavenezuela kupiga kura upya kumchagua atakaye ziba pengo la Hugo Chavez. 
Karakas, Venezuela, 10/03/2013.Masaa machache baada ya kuapishwa kwa Nikolas Maduro kuwa rais wa Venezuela, serikali ya nchi hiyo imetangaza rasmi siku ya kufanyaka uchaguzi mkuu wa urais.
Wavenezuela watapiga kura tarehe tarehe 14, Aprili/2013, tayari kumchagua rais mpya , ili kukamilisha katiba ya nchi hiyo inavyo sema "lazima uchaguzi ufanyike siku 30 baada ya kifao cha rais."
Viongozi watakaogombea kiti hicho cha urais ni  Nikolas Maduro ambaye alikuwa makamu wa rais wa Venezuela kabla ya kifo cha rais Hugo Chavez, na amehaidi kuendeleza mipango yote iliyo achwa na rais Chavez. Na  Henrique Capriles ataongoza kambi ya upinzani kwa kugombea tena kiti hicho cha urais kwa mara ya pili, baada ya kushindwa hayati rais Hugo Chavez kwenye uchaguzi uliyo fanyika mwishoni mwa mwaka jana.

Polisi wa Afrika ya Kusini walio husika kumburuza kwa gari raia wa Msumbuji kushitakiwa.

Johannesburg, Afrika ya Kusini - 10/03/2013.Watu wapatao 2000 wameudhuria mazishi ya dereva wa taxi Mido Macia 26,  raia wa Msumbiji ambaye alifia kituo cha polisi baada ya kukamatwa.
Kufuatia kifo hicho, polisi tisa, wamefunguliwa mashitaka kutokana na  kifo Mido Macia ambaye walimburuta barabarani kwa kutumia gari la polisi wakati wakifanya doria.
Mido Macia raia wa Msumbiji alikutwa katika kituo cha polisi cha Devyton mnamo tarehe 27/02/2013 na  majeraha ya kichwani, na kuamika ya kuwa chanzo cha kifo cha Mido Macia kilitokana mateso ya kuburuzwa barabarani na polisi hao.
Kitendo cha polisi hao kumburuta Mido Macia barabarani, kilionyeshwa kwenye mitandao  na kuleta mshituko mkubwa kwa jumuiya ya kimataifa na pia kulaaniwa vikali na rais  wanchi hiyo Jacob Zuma.

11 comments:

Anonymous said...

Study the wolf's face and understand its most basic shapes. Finally, we've come to the
final portion of our masterpiece. If you do not add shadow at all your
character may appear to be floating in mid air.


Also visit my webpage how to draw cartoons

Anonymous said...

But the condition is that the color of the sweater is relatively dull; otherwise, it
will be too flashy. I have more than once looked down to find my shoes untied and quickly realized I had unconsciously reverted to my
old ways. The classic sophistication is a consistent character that
bow ties evoke.

My weblog: how To tie a tie

Anonymous said...

Strips for drug tests, also referred to being test cards, dip strips or test panels, are
employed to determine drug metabolites in the sample of urine.
There are numerous determining factors for how long drug toxins stay in
a persons body which vary from person to person, such as the analytical
method used, your health, your body weight, metabolism, fluid intake, the type
of drug toxin, and the degree of exposure to the drug toxin.
Besides, you would even be provided the telephonic as well as
live asses to a consultancy panel that has been set up exclusively
to listen up your queries and offer the solutions that are not vague and certainly
work.

Visit my homepage; how to pass a hair drug test home remedies

Anonymous said...

Hi! Someone in my Facebook group shared this site with
us so I came to take a look. I'm definitely loving the information. I'm book-marking and will be tweeting this to my followers!

Wonderful blog and brilliant design and style.

Feel free to surf to my website ... jewish calendar

Anonymous said...

My spouse and I stumbled over here coming from a different web address and thought I might check things out.

I like what I see so now i am following you. Look forward
to looking over your web page again.

Feel free to visit my site :: lower right
back pain (lowerbackpainrightsidehq.org)

Anonymous said...

First of all, unlike having to eat 6 times per day every day your
training should only be done 1 time per day 3 days per week with at least
one day of rest between training days. In my years of
experience, when I bulked up and gained weight and fat,
the biggest mistake I made was not tracking what I ate.
This is why one needs to exercise regularly to gain muscle
mass.

Here is my homepage: how to gain weight for skinny guys ()

Anonymous said...

I will right away snatch your rss feed as I can not find your e-mail subscription hyperlink or newsletter service.
Do you've any? Kindly permit me recognise in order that I may subscribe. Thanks.

Review my weblog ... best allergy medicine

Anonymous said...

Many of the dating sites claim to offer best services, however, end up fooling innocent people.
Do not bog your site down so heavily that it affects simple navigation, and
designers, keep the effect your flash files will have in mind when designing
a template for purchase. This would result in higher clickthrough ratios and allow you to make more money from Adsense.



Take a look at my web page: how to make a website

Anonymous said...

Write more, thats all I have to say. Literally, it seems as though you relied on the video to
make your point. You clearly know what youre talking about, why waste your
intelligence on just posting videos to your site when you could be giving
us something enlightening to read?|

Here is my blog post ... program do rozliczania pit 2014 (noweprogramypity2014.pl)

Anonymous said...

The credit file is associated with accuracy, and it is significance is in receiving the error corrected.
I'll discuss the good Equifax, an organization whose primary
assets will be the secrets. Relax for a while then start with all the following one.



Feel free to visit my web blog: free credit report reviews

Anonymous said...

Whats up very cool web site!! Man .. Excellent ..
Superb .. I will bookmark your website and take the
feeds also? I am happy to search out a lot of helpful info here within the post,
we need work out more techniques on this regard, thank you for sharing.

. . . . .

my blog post: Nike Air Max 90 Current Moire