Monday, October 24, 2011

Jeshi la Kenya lazidisha mashabulizi zidi ta Al-Shabab.

Jeshi la Kenya lazidisha mashambulizi zidi ya Al-Shabab.

Nairobi, Kenya -24/10/2010. Ndege za jeshi la Kenya zimefanya mashambulizi katika mji wa Kismayo uliopo nchini Somalia, ikiwa katika moja ya kampeni ya serikali ya Kenya ya kupambana na kundi la Al-Shabab.
Kundi la al Shabab limethibitisha mashambulizi hao na kudai ya kuwa " hakuna maafay mkubwa yaliyo tokea katika kundi lake." Na kudai yakuwa waliwe kushambulia ndege hiyo na haikuweza kurudi tena.
"Na wapiganaji wetu wanajiaandaa tayari kwa kupambana na jeshi la Kenya."alisema msemaji wa Al-Shabab
Naye msemaji wa jeshi la Kenya alisibitisha yakuwa mashambulizi yalifanyika katika enelo la Kismayo na mashambulizi kama hayo huenda yakatokea siku za mbeleni.
Waturuki wakubwa na maafa ya tetemeko la ardhi.
Jimbo la Van, Uturuki - 24/10/2011. Tetemeko la ardhi lililo tokea nchini Uturuki limesababisha vifo vya watu wapatao 300 na wengine kijeruhiwa pamoja na maafa makubwa kijami yenye thamani ya mamilion.
Waziri mkuu wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan amesema " hadi kufikia sasa shughuli za uokoaji zinaendelea japo kuna matatizo kutokana na mazingira kuwa magumu katika uokoaji."
"Naserikali inajitahidi kwa kila hali ili kuweza kuwasaidia wale wote walioathirika na tetemeko hili."
Tetemeko la ardhi lenye nguvu za nyuzi 7.2 lilitokea nchini Uturuki siku ya Jumapili na hadi sasa bado serikali inajitahidi katika kuhakikisha inatoa kila msaada kwa wale wote waliokubwa na janga hilo la tetemeko la ardhi.

No comments: