Wednesday, May 30, 2012

Charles Tayrol ahukumiwa kukaa jela miaka 50.

Charles Tayrol ahukumiwa kukaa jela miaka 50.



Hague, Uhollanzi - 30/05/2012. Mahakama ya kimataifa inayo shughulikia na kutetea haki za binadamu imetoa hukumu ya kwenda jela  miaka 50  kwa aliye kuwa rais wa Liberia.
Charles Taylor 64, ambaye alikutwa na hatia ya kuhusika katika makosa 11 katika kuwasaidia wapiganaji wa kivita nchi Sierra Leone wakati vita vililivyo piganwa kwa muda mrefu nchi Sierra Leone atatumikia kifungo chake nchini Uingereza
Jaji Richard Lussick akisoma hukumu hiyo alisema " mahakama inakuhukumu kwenda jela miaka 50 kutokana na makosa uliyofanya katika kusaidia ukiukwaji wa haki za ubinadamu.
Hata hivyo baada ya hukumu hiyo kutolewa, wanasheria anaye mwakilisha Charles Taylor amekata rufaa zidi ya hukumu hiyo.

Rufaa wa mwanzilishi wa Wikileaks yakataliwa.

London, Uingereza - 30/05/2012. Mahakama kuu ya Uingereza imikataa rufaa iliyokuwa imeombwa na ya kutaka  mwanzilishi wa Wiki Leak asipelekwe nchi Swiden ili kujibu mashitaka yanayo mkabili.
Rufaa hiyo iliyo katwa na  Julian Assange kwa kupitia wakili wake ilikataliwa na mahakama  ya rufaa
 kwa kusema ni  "azima haki za kisheria kutimizwa."
Kufuatia uamuzi huo wa mahakama, Julian Assange atapelekwa nchi Swiden ambapo anakesi inayo mkabili kujibu baada ya mwanamke mmoja kufungua kesi ya "kuwa Julian Assange alimbaka" jambo ambalo Assange anakanusha kwa kudai  "kesi hiyo imetengenezwa katika mazingira ya kisiasa"
Julian Assange ni mwanzilishi wa mtandao wa WikiLeaks ambao ulichapisha habari za siri za kimataifa na shughuli nyingine za kidiplomasia za Marekani na nchi nyingine tofauti.

 Chama cha Republikan cha pata mgombea urais wa Marekani.

Texas, Marekani - 30/05/2012. Mgombea wa kiti cha urai wa Marekani amepita  bila kikwazo katika baada ya wa wajumbe wa jimbo la Texas kumpa barakan zao.
Mitt Romney ambaye sasa atakuwa mgombea wa kiti cha urais kupitia chama cha Republikan alisema " chama chetu kimeungana kwa nia ya kuweka miaka mitatu iliyo pita ya kindotondoto na ugumu uliyo kuwepo na kuwa tayari kuinua maisha ya Mmarekani kwa kuhakikisha kila mtu anachangia katika kujenga nchi."
Mitt Romney alipitishwa kwa kura 155, ambazo  zimemwezesha kuwa mgombea pekee  wa    chama cha Republikan cha Marekani katika uchaguzi wa urais utakao fanyika hivi karibuni nchini humo.

Rais wa Somalia anusurika na mashambulizi.

Mogadishu, Somalia - 30/05/2012. Kundi la Alshabab limekubali kuhusika na mashambulizi yaliyo fanywa kwenye msafara wa rais wa Somalia nje ya mji wa Mogadishu.
Mtandao ambao unatumiwa na kundi hilo umeto habari na kusema " tumefanya mashambulizi ya msafara kwa na Sharif Sheikh Ahmed ameokolewa na jeshi la umoja wa Afrika kwakutumia  siraha za kigeni."
Mashambulizi hayo ya rais wa Somalia yalitokea wakati alipo kuwa ziarani katika mji wa Afgoye ambo baadhi ya maaskari walinzi wa rais waliumia vibaya.

7 comments:

Anonymous said...

Attractive section of content. I just stumbled upon your website and in accession capital to
assert that I get in fact enjoyed account your blog posts. Any way I will be subscribing to your augment and even I achievement you access
consistently rapidly.

Take a look at my website; uk best hosting provider

Anonymous said...

I typically believe the pointers are really useful. To me, this time,
there were too many generalizations for someone who does not currently know
about printers.

Also visit my webpage; blogspot.com

Anonymous said...

Hi there, each there, I am making use of HP LaserJet 1500
color printer on Mac how can easily I take prints
of numerous web pages in Mac. I tried all the alternatives and I did not done well in taking multiple pages print.
There is now issue with Hp 1500 Drivers and Hp 1500 printer software application, all are functioning fine.


Also visit my web-site ... http://bucketsofvalentinesdayideas.blogspot.fr

Anonymous said...

I don't create a comment, but I browsed a bunch of comments on this page "Charles Tayrol ahukumiwa kukaa jela miaka 50.". I actually do have 2 questions for you if you do not mind. Is it simply me or do some of these remarks look like they are coming from brain dead individuals? :-P And, if you are writing at other social sites, I would like to keep up with you. Could you post a list of every one of your social community sites like your twitter feed, Facebook page or linkedin profile?

my site :: Xerox 8560 drivers

Anonymous said...

Awesome things here. I am very glad to peer your article.
Thank you a lot and I'm having a look forward to touch you. Will you please drop me a mail?

my webpage; LG 42LS5600 TV ()

Anonymous said...

Nice job, Aaron. I handled to keep my Lexmark E210 printer (an ML-1210 duplicated) functioning along, now in Home
windows 8.

Feel free to surf to my page; Xerox Phaser 8560mfp

Anonymous said...

It's feasible, although I have actually only had it accompany black. Maybe that the cyan toner cartridge is faulty, it may be rigid.

my web-site: xerox phaser 8560 error codes